KAMERA YANGU

 Wiki hii ya usalama barabarani bado changamoto kama ionekanavyo hapa askari akipima ajali iliyotokea eneo la Kimara jijini DSM
 Ajali hii imetokea eneo Kibaha mkoani Pwani, na haikuweza kufahamika mara moja kama kuna mtu aliyefariki
 Ujenzi wa barabara ya Morogoro jijini DSM unaendelea

 Picha zote juu zinaonesha ujenzi wa daraja la kuvukia watu eneo la Kimara mwisho jijini DSM
 Meseji 'of the day'

Mnaonaje haya magari yakiwa ya Chama?


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo