Mwenyekiti wa Chama cha wananchi [CUF]Wilayani Siha Mkoani
KilimanjaroBw Idd Amisi amewataka wananchi Wilayani humo kutokuuza
mazao yao yote ya chakula badala yake wajiwekee akiba ili kuepuka njaa
Akizungumza na waandishi
wahabari wa Leo kwenye ofisi yake ,amesema imekuwa ni
kawaida kwa wakulima katika wilaya hiyo kuuza mazao yote bil ya
kujiwekea akiba ya kutosha jambo linalosababisha wakubwe na njaa
Bw Amisi amefafanuwa
kuwa Wilaya hiyo ni moja ya Wilaya zinazozalisha mazao mengi ya chakula
yakiwemo ,mahindi mihogo,viazi, na maharage, hivyo hakuna sababu ya
kupata njaa kama ilivyo kwa maeneo mengine
Amesema kinachotakiwa
kwa kila kaya kufahamu idadi yao iliwafahamu ni kiasi gani cha chakula
kinatakiwa kuifadhi kama akiba
