TAZAMA WAKAZI WA MAKETE WANAVYOPATA TAABU BAADA YA UJENZI WA BARABARA ZA MITAA




Picha mbalimbali zikionesha namna wakazi wa Makete wakipata taabu ya kupita kwenye barabara za mitaa kutokana na kujaa vumbi jingi.
wengi wao walipendekeza barabara hizo zijengwe karibia na masimu wa mvua ili kuepuka adha hiyo ama wakandarasi/serikali iendelee kumwagia maji barabara hizo ili kuondoa kero ya vumbi


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo