SIMANJIRO.
Aidha alisema kuwa baada ya kuzungumza na kukaa mezani kwa muda mrefu hatimaye viongozi wa halmashauri ya wilaya hiyo wamewarudishia vyanzo vyao vya mapato walivyokuwa wanavikusanya kwenye mji huo wa Mirerani.
Pia alivitaja vyanzo hivyo vya mapato kuwa ni pamoja na machinjio,kituo cha magari ya abiria,soko na mnada wa Songambele na ushuru kwa watu
wanaolala kwenye nyumba za wageni katika mji huo.
“Kwa dhati ya moyo wangu naushukuru uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Simanjiro wakiongozwa na Mkurugenzi wake Alhaji Muhammad Nkya kwa kuturejeshea vyanzo vyetu vya mapato,” alisisitiza Siloli.
Mamlaka
ya Mji mdogo wa
Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara imerudishiwa vyanzo vyake vya mapato ambavyo awali vilikuwa
vinakusanywa na Halmashauri ya wilaya ya Simanjro.
Taarifa hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Mamlaka hiyo Albert Siloli wakati akiongea na waandishi wa habari ambapo alibainisha kuwa kuanzia mwezi huu wa Agosti halmashauri ya wilaya hiyo itawawekea kwenye akaunti yao fedha walizozikusanya mwezi huu katika eneo hilo .
vinakusanywa na Halmashauri ya wilaya ya Simanjro.
Taarifa hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Mamlaka hiyo Albert Siloli wakati akiongea na waandishi wa habari ambapo alibainisha kuwa kuanzia mwezi huu wa Agosti halmashauri ya wilaya hiyo itawawekea kwenye akaunti yao fedha walizozikusanya mwezi huu katika eneo hilo .
Aidha alisema kuwa baada ya kuzungumza na kukaa mezani kwa muda mrefu hatimaye viongozi wa halmashauri ya wilaya hiyo wamewarudishia vyanzo vyao vya mapato walivyokuwa wanavikusanya kwenye mji huo wa Mirerani.
Pia alivitaja vyanzo hivyo vya mapato kuwa ni pamoja na machinjio,kituo cha magari ya abiria,soko na mnada wa Songambele na ushuru kwa watu
wanaolala kwenye nyumba za wageni katika mji huo.
“Kwa dhati ya moyo wangu naushukuru uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Simanjiro wakiongozwa na Mkurugenzi wake Alhaji Muhammad Nkya kwa kuturejeshea vyanzo vyetu vya mapato,” alisisitiza Siloli.
Alieleza
kuwa kwa muda
mrefu wajumbe wa mamlaka ya mji huo walikuwa wanalalamikia kitendo cha
halmashauri ya wilaya hiyo kukusanya ushuru na kuchukua mapato kutoka kwenye mji huo kisha wanawarejeshea kiasi kidogo cha
mapato yao .
Alisema
kuwa wapo
katika mchakato wa kuwafahamisha watu wote waliokuwa na tenda ya
kukusanya mapato na kuyapeleka wilayani ili watambue kuwa fedha zetu
zinabaki
hapa hapa kwenye mji wetu wa Mirerani..
Vile vile wakazi wa mji huo bado wanasikitishwa na kitendo cha makampuni makubwa yanayochimba madini ya Tanzanite kutokuchangia
chochote kwenye mji huo huku wenye meza za pool table wakitozwa ushuru wa sh200 kila siku.
Vile vile wakazi wa mji huo bado wanasikitishwa na kitendo cha makampuni makubwa yanayochimba madini ya Tanzanite kutokuchangia
chochote kwenye mji huo huku wenye meza za pool table wakitozwa ushuru wa sh200 kila siku.