Mbeya City yawasilisha majina ya wachezaji TFF


Na Kenneth Ngelesi, Mbeya

TIMU soka ya Mbeya City  ya  jiji hapa  imewasilisha majina ya wachezaji  25 shiurikisho la mpoira wa miguu Tanzanai TFF kwa ajili ya ligi daraja la kwanza Tanzania Bara inayo tarajiwa kuanza kutimua vumbi mwanzoni mwa Septemba mwaka huu.
Kwa mujibu wa barua iliyo andikwa na katibvui wa ti iu hiyo Emmanuel Kimbe inaonyesha kuwa majira hayo yalisha tumwa Agast 14 mwaka huu kwa njia ya simu ya mkononi.

Aidha katika barua hiyo iliyo tolewa kawa vyombo mabalimbalai vya habaari inaonyesha majinja yas wachezaji walio sajiliwa kwa ajili ya ligi kuwa ni Geofrey Mwalyego,Amani Simba,Khalifa Joo,Baraka Haule,John Kabanda, Hassani Mwasalipa, Hamad Kibopile na Yusuph Lulinda.

Wengine ni Deogratius Deo,Richard Mwangobola,Yohana,Ng’onye,Antony Matogolo,Richard Mwakalinga,Godfrey Namwandu,Fidelis Maganga,Deus Kaseke, Yusuph Mbijima,Steven Mazanda,Innocent Namwandu ,Yona Ndabila Mwaga,e Mbeyela Herry Ng’onye Harun Ngalison, Alex Seth na Patrick Mboma.

Aidha katika barua hiyo inaonyewsha kuwa maegeja wa tim u ni Juma Mwambusi na  ambaye atalkuwa akisaidiwa na Maka Mwalwisi na mganga wa timu hiyo ni Joshua Kaseko

Timu ya Mbeya City inajiwinda na hatua ya kupanda daraja na hatimaye iweze kucheza ligi kuu mwakani baada ya kuishindwa  kutinga ligi kuu mwakuu katika hatua ya tisa bora ilifanyika ,Aprili  mwaka mujni Morogoro.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo