Jeshi la Polisi Wilayani
Siha Mkoani Kilamanjaro litafanya doria ya kukabiliana na vitendo vya
kialifu
katika maeneo mbalimbali Wilayani humo wakati wa shamra shamra za
sikukuu ya Id
ELFITIR
Akizungumza na waandishi
wa habari ofisini kwake leo mkuu wa kituo cha polisi Wilaya Siha OCD SP
LUTSIYA
MWAKYUSA amesema kuwa Jeshi lake limejipanga kukabiliana na vitendo vya
uvunjaji wa amani
Bw Mwakyusa amesema ili
kudhibiti uhalifu wataimarisha doria Wilaya nzima kwa kushirikiana
Polisi jamii
ulinzi shirikishi ili kusitokee vurugu au vitendo vya uvunjifu wa amani
hivyo
amewaomba Wananchi kuwapa ushirikiano hili kutekeleza jambo hilo
Pia amesema vikosi vya
usalama barabarani navyo vitawekwe katika hali ya tahazari kwani baadhi
ya
madereva hukiuka sheria kwa kuendesha magari wakiwa wamelewa hali ambayo
inaweza ikachangia kutoakea kwa ajali
Katika hatua nyingine
watu wasio julukana idadi yao wamevunja na kuiba vitu mbalimbali
vikiwemo simu
akidhibitisha kutokea kwa tukio hilo Mwenyekiti wa mtaa wa Sanya juu
Wema
Gasino amesema tukio hilo limetokea agost 16 mwaka huu nyakati za usiku
Amesema
kuwa watu wasiojulikana idadi yao ambao wanasadikiwa ni vibaka walivamia
dukani
kwa bw Himanueli Masakuu mkazi wa Sanya na kuiba simu na Loptop
zenyethani ya sh milioni tisa na nusu pamja na vitu vingine ambavya
havijajulikana idadi yake ,ambapo Polisi wa kituo cha Sanya juu
wanaendelea na
uchunguzi ilikubainini ni nani waliousika na tukio hilo
