skip to main |
skip to sidebar
AJALI ILIYOTOKEA LEO WAMI NA KUUA WATU 11
Ajali
nyingine mbaya imetokea maeneo ya Wami mkoani Pwani na kuua raia 11
kutoka Nchini Kenya.
Na tayari Rais wa Kenya, Mwai Kibaki
ameagiza Serikali ya nchi hiyo kuileta ndege nchini Tanzania kuchukua
majeruhi.
Tanzania imekuwa ikishuhudia ajali nyingi mbaya na
zakusikitisha ambazo zimekuwa zikipoteza nguvu kazi ya taifa.
...
Je ni kweli kwamba serikali imeshindwa kabisa kupata mwarobaini wa
ajali hizi?
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi