Askari wa kikosi
cha usalama barabarani mkoa wa Morogoro akipokea maelezo kutoka kwa abiria
wawili akiwemo mwanajeshi waliokuwa ndani ya basi hilo la Allys lenye
namba za usajiri T692 BKV ambalo lilikuwa likitokea jijini Dar es
salaam kwenda jijini Mwanza
Afande wa kike
anayefanya doria kwa kutumia pikipiki akiwasaidia watoto wawili kwenye
gari ya polisi na kuwapekea kwa mama yao ambaye inadaiwa kuwa
amejeruhiwa vibaya na kukimbizwa hospital ya mkoa wa Morogoro.
Mkuu wa Wilaya ya
Mvomero Anthony Mtaka [kushoto] ambaye ajari hiyo imetokea kwenye Wilaya
yake akifarijiwa eneo la tukio na Meya wa halmashuri ya Manispaa ya
Morogoro Amir Juma Nondo [kulia]
Abiria huyu Tatu
Anthony akiangua kilio baada ya kunusurika kwenye ajari hiyo ambayo
hakuna mtu aliyepoteza maisha
Abiria huyo akiwa
na watoto wake wawili ambao wote walinusurika kwenye ajali hiyo
Mama huyu alinaswa na mtandao huu akitoa mizigo yake kupita kwenye tundo la kuingiza hewa ambalo hukaa juu ya basi
MMOJA wa abiri
waliokuwa kwenye gari la Allys akimnyonyesha mtoto wake mchanga muda
mfupi baada ya kuchomoka kwenye basi hilo
Basi na Sumry lenye namba za usajiri T 777
BWL ambalo pia lilikuwa likitokea Dar kuelekea Mwanza nalo lilipofika
eneo hilo hilo lilianguka huku sababu ikielezwa kuwa hiyo hiyo ya barabara
kuteleza
Gari
ya wagonjwa la jeshi la polisi mkoa wa morogoro lilifanya kazi
kuwakimbiza majeruhi hao hospital ya mkoa wa Morogoro










