BADO TANZANIA HAIJAWEZA KUTUMIA TAFITI ZAKE IPASAVYO



Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi ambazo hazijaweza kutumia kikamilifu tafiti zake na hivyo kushindwa kufikia malengo ya tafiti hizo

Wadau wa sekta ya teknohama sayansi na teknolojia kutoka nchi 45 za Afrika na Ulaya wamekutana nchini humo kwa lengo la kutafuta njia za kuwezesha nchi za bara la Afrika kuweza kufanya tafiti mbalimbali na kuzitumia ili kuharakisha maendeleo ya nchi hizo

Hali hiyo hapa nchini inasababishwa na upungufu wa rasilimali watu katika tafiti hizo kama alivyosema Prof. Avelini Mbede Mkurugenzi kutoka tume ya mawasiliano na Teknolojia


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo