Waliofariki ajali ya Coaster Tanga, 14 ni wa Familia moja


Kati ya watu 17 waliofariki katika ajali mkoani Tanga, watu 14 ni wa familia moja ambao walikuwa wanasafirisha mwili wa marehemu kwenda mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya mazishi.



Ajali hiyo imetokea jana Ijumaa, Februari 3, 2023 majira ya saa 4:30 usiku usiku katika eneo la Magira Gereza Kata ya Magira Gereza Tarafa ya Mombo wilayani Korogwe, barabara ya Segera - Buiko (Barabara Kuu ya Arusha- Kilimanjaro).




JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo