Miili yaanza kutambuliwa waliofariki ajalini Korogwe Tanga

Wakazi kutoka Wilaya ya Korogwe na Handeni wamewasili chumba cha kuhifadhi maiti katika Hospitali ya Wilaya ya Korogwe kwa ajili ya kutambua ndugu zao waliofariki kwenye ajali ya gari iliyotokea jana usiku wilayani hapo mkoani Tanga.


Watu hao ambao wengi ni ndugu wenyeji wa Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, walikuwa wakisafirisha maiti kwenda kwenye mazishi.

Watu 17 wamefariki dunia na 12 kujeruhiwa katika ajali hiyo ambayo imehusisha gari aina ya Coaster lililogongana na Fuso.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo