- Felician Gasper Mtahengerwa – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha
 - Marko Henry Ngu’mbi – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido
 - Emmanuela Kaganda Mtatifikolo – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru.
 - Gerald R. Mongella – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Chemba
 - Kanali Boniphace Magembe – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Geita
 - Leah Lucas Ulaya – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe
 - Deusdedith Josephat Katwale – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya Chato
 - Grace Henry Kingalame – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale
 - Dkt. Linda Peniel Salekwa – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mufindi
 - Dkt. Abel Mwendawile Nyamahanga – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Muleba
 - Japhet Mosses Maganga – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa
 - Erasto Yohana Sima – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bukoba
 - Julius Kalanga Laiser – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Karagwe
 - Dinah Elias Mathamani – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza
 - Dkt. Christopher David Timbuka – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Siha
 - Amir Mohamed Mkalipa – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai
 - Kasilda Jeremia Mgeni – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Same
 - Goodluck Asaph Mlinga – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Liwale
 - Chistopher E. Ngubiagai – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilwa
 - Beno Morris Malisa – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya
 - Josephine Keenja Manase – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyela
 - Jaffar Mohamed Haniu – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rungwe
 - Rebeca Sanga Msemwa – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro
 - Shaka Hamdu Shaka – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa
 - Rachel Stephen Kasanda – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Magu
 - Hassan Omary Bomboko – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe
 - Victoria Charles Mwanziva – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ludewa
 - Kanali Joseph Samwel Kolombo – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kibiti
 - Zephania Stephan Sumaye – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mafia
 - Lazaro Killian Komba– Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo
 - Dkt. Jane Chacha Nyamsenda – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga
 - Wilman Kapenjama Ndile – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Songea
 - Mboni Mohamed Mhita – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama
 - Farida Salum Mgomi – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ileje
 - Solomon Jonas Itunda – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Songwe
 - Zakaria Saili Mwansasu – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Uyui
 - Naitapwaki Lumeya Tukai – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nzega
 
Hii hapa Orodha ya Wakuu wa Wilaya Wapya Walioteuliwa Leo
By
Edmo Online
at
Wednesday, January 25, 2023
