MTAZAME MBUNGE AMBAYE NI BONGE LA SHAROBARO

Sonko.



sonko 7
sonko4
sonko2
sonko
Huyu ndio yule mbunge sharobaro wa Kenya, umaarufu wake umeongezeka kutokana na usharobaro wake ambao unamfanya mpaka avae hereni na kudunda mtaani kama kawa.

Nakumbuka 2012 moja kati ya stori nilizoziona kwenye TV za Kenya ni wakati alipoamriwa kutoka nje ya jengo la bunge baada ya kuingia akiwa amepiga suti fresh lakini masikioni anazo hereni.

Ukimkuta kwenye mitaa huwa anatupia pamba sio kitoto, na ni rafiki wa wasanii pia nakumbuka hata Z ANTO wakati yuko juu kipindi kile na single ya binti kiziwi, huyu Sonko alimpatia gari la kifahari kutembelea Kenya akiwa na mlinzi pembeni.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo