Mikwaju ya Penati yaamua Veterani FC kubeba Ubingwa

Mikwaju ya penati 3-1 imeamua bingwa wa mashindano ya Ligi ya Mbunge jimbo la Makete Festo Sanga baada ya kupigwa katika dimba la shule ya msingi Matamba


Ndani ya dakika 90 timu hizo Kimani FC na Veterani FC zilifungana magoli 4-4 hali iliyolazimu bingwa apatikane kwa mikwaju ya penati ambapo Veterani FC waliibuka mabingwa kwa kuichapa Kimani FC kwa penati 3-1

VIDEO NZIMA TUMEKUWEKEA HAPO CHINI


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo