Mbunge wa jimbo La Makete Festo Sanga amesema amepokea changamoto zilizotolewa na chama cha mpira wa miguu wilaya ya Makete kwamba awasaidie kukarabati viwanja vya michezo katika wilaya hiyo hivyo amesema amelipokea na atalifanyia kazi suala hilo
Mbunge Sanga ameyasema hayo wakati wa fainali za Ligi ya Mbunge iliyofikia tamati jumapili Desemba 18,2022 kwa timu ya Veterani FC kuifunga Kimani FC kwa penati 3-1 baada ya dakika 90 kutoshanga nguvu ya magoli 4-4 ambapo amesema kwa kushirikiana na wadau watashirikiana ili waboreshe viwanja angalau viwili vitatu viwe na hadhi
VIDEO KAMILI IPO HAPO CHINI
