Picha zote za ajali ya Basi la Kaprikon

Basi la kampuni ya Kapricon linalofanya safari zake kutoka Dar Es Salaam kuelekea jijini Arusha limepinduka katika eneo la Hedaru Mkoani Kilimanjaro leo Novemba 18, 2022

Bado hakuna Taarifa ya Majeruhi au Watu waliopoteza Maisha katika Ajali hiyo na Chanzo cha Ajali bado Hakijajulikana.



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo