Panya Road waibukia Pwani, majeruhi wasimulia

Wananchi waliovamiwa na kundi la vijana Wahalifu wenye silaha mbalimbali maarufu panya road huko Kibaha Mkoani Pwani wamesema vibaka hao waliwavamia kwa makundi huku wakisema hiyo ndio njia yao ya kupata rizki hivyo kila mtu atii amri ya kutoa anachoelekezwa


Wakizungumza kwenye makazi yao baadhi ya wahanga na majeruhi wa tukio hilo wanaeleza namna wezi hao walivyowavamia

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Pius Lutumo amethibitisha tukio hilo huku Daktari wa kitengo cha dharura katika hospitali ya rufaa ya Mkoa Tumbi. Dkt Oscar Feruzi akitaja idadi ya majeruhi waliotibiwa hospitalini hapo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo