Watuhumiwa wawili wa wizi wa Ng’ombe nchini Kenya wamesijalimisha kituo cha Polisi wakiwa na rundo la Nyuki kwenye viganja vya Mikono.
Tukio linalohusishwa na Imani za Kishirikina Baada ya Mwenye Ng’ombe kwenda kwa Mtaalam na Kufanikisha Zoezi hilo kama njia ya Kuwakamata!