
Frolelence Nyingo Mkazi wa Kijiji cha Nakahegwa, Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Mkoani Ruvuma amefariki dunia baada ya kuanguka akiwa kwenye foleni ya kusubiri mbolea ya ruzuku, katika kituo cha kuuzia mbolea hizo cha Mohammed Enterprises.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma ACP Marco Chilya, amethibitisha.