Adaiwa Kuua Mtoto na Kucheza Ngoma Baada ya Tukio


Simulizi ya mume wa Mwashamba Salum (37) anayetuhumiwa kumuua mwanaye wa miaka mitano kwa kumkata na kitu chenye ncha kali kichwani na kisha kuanza kuchenza ngoma baada ya tukio hilo.


Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Polisi Kibiti, Protus Mtayoba amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na mtuhumiwa atapandishwa kizimbani upelelezi ukikamilika. 

Tayari mazishi ya mtoto huyo yameshafanyika.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo