Mwanaume huyo ambaye jina lake kamili ni Joseph Ojur mwenye umri wa miaka 52 mkazi wa ukanda wa Kabagu katika Manispaa ya Njeru nchini Kenya alijinyonga siku ya Jana Juni 3, 2018 baada ya kunyimwa tendo la ndoa (unyumba) na mkewe kwa kile kinachodaiwa kuwa Joseph Ojur inasemekana alimwambia mkewe kuwa alifanya vipimo vya UKIMWI na kukutwa nao.
Tangu amwambie mkewe hivyo amekuwa akinyimwa "unyumba".
