Tazama picha za matukio mbalimbali yaliyojiri bungeni leo May 11, 2018

Kikao cha 27, mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea Bungeni mjini Dodoma muda huu, likiwa limeongozwa na Mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenge, ambapo kipindi cha maswali na majibu kimeaendelea; Tazama matukio katika picha
Mwenyekiti wa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Andrew Chenge akiongoza kikao cha ishirini na saba cha mkutano wa kumi na Moja leo Jijini Dodoma

Mbunge wa Mtera Mhe.Livingstone Lusinde akiuliza swali wakati wa kikao cha ishirini na saba cha mkutano wa kumi na Moja leo Jijini Dodoma

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Japhet Asunga akitolea ufafanuzi hoja mbalimbali za wabunge wakati wa kikao cha ishirini na saba cha mkutano wa kumi na Moja leo Jijini Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akiteta jambo na Naibu Waziri wa Nishati Mhe.Stanslaus Nyongo ,Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe.Dk Ashatu Kijaji na Naibu Waziri wa Kilimo Mhe.Dkt Mary Mwanjelwa wakati wa kikao cha ishirini na saba cha mkutano wa kumi na Moja leo Jijini Dodoma

Mbunge wa Vunjo Mhe.James Mbatia akifurahia jambo na wabunge wenzie wakati wa kikao cha ishirini na saba cha mkutano wa kumi na Moja leo Jijini Dodoma

Mbunge wa Kwimba Mhe.Mansoor Hirani akizungumza jambo na Manaibu Waziri wa TAMISEMI Mhe.Josephat Kandege na Joseph Kakunda wakati wa kikao cha ishirini na saba cha mkutano wa kumi na Moja leo Jijini Dodoma


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo