RC atakayeniomba chakula, atakuwa anaomba kufukuzwa kazi – Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema Mkuu wa mkoa yoyote atakaye omba chakula kwake atakuwa ameomba kufukuzwa kazi.

Rais Magufuli ameyasema hayo leo, Mey 5, 2018 kwenye ufunguzi wa daraja la Kilombero, ambapo amesem akuwa haiwezekani mvua inyeshe halafu watu wakose chakula.
“Mkuu wa Mkoa atakayeniomba chakula, atakuwa anaomba kufukuzwa kazi, kwa sababu haiwezekani mvua inyeshe hivi, halafu wakose chakula,” amesema Rais Magufuli.
Aidha Rais Magufuli amesema kuwa “maandiko yanasema asie fanya kazi na asile na asipo kula afe, hakuna chakula cha bure.”


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo