Lema: Haya ni kama mazingaombwe yenye nia mbaya zaidi kuliko heri

Kupitia Ukurasa wa twitter wa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema ameandika -Sugu na Masonga walipaswa kutoka tarehe 5 /6/2018 kwa mujibu wa sheria lakini wameachiwa leo. Ni kwa nini rufaa yake haikusililizwa kwa wakati ? haya ni kama mazingaombwe yenye nia mbaya zaidi kuliko heri.TAFAKARINI SANA furaha zetu na zijae mashaka zaidi kuliko starehe.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo