IGP Sirro afanya teuzi mbalimbali ndani ya Jeshi la Polisi

IGP Simon Sirro amemteua Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Ramadhan Ng’anzi kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (RPC) Mkoa wa Arusha.
Aliyekuwa RPC Arusha, Naibu Kamishna wa Polisi, Charles Mkumbo amehamishiwa Makao Makuu ya Upelelezi Dar es Salaam.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo