Breaking news: Kaburi likifukuliwa Live Mkuranga Pwani



#BREAKING_NEWS: Vilio na Simanzi vyatawala wakati wa tukio la kuufukua mwili wa marehemu Rose Magombola ambaye alikuwa muuguzi mkuu msaidizi wa Hospitali ya Mkurunga aliyeuawa na mumewe kwa kupigwa kisha mwili kuufukia pembezoni mwa nyumba yake.

Mamia ya Wananchi  eneo hilo na watumishi wa hospitali ya wilaya ya Mkuranga(Pwani) wamejumuika kushuhudia tukio hilo.

Endelea kuwa nasi,tutakujuza zaidi.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo