skip to main |
skip to sidebar
Mkurugenzi aliyetumbuliwa na Rais Magufuli ajitokeza na kukanusha
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Tiba (NIMR), Dkt Mwele Malecela, amekanusha taarifa zinazosambazwa kuhusu kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.
Dkt Mwele ni mmoja ya wakurugenzi katika ofisi ya WHO Afrika iliyopo Congo, Brazzaville.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi