Tangu kuungua moto bweni la wavulana shule ya Sekondari Mang'oto wilayani Makete mkoani Njombe Machi 12 mwaka huu, Tumeendelea kufuatilia kujua hata ya wanafunzi hao
hapa Tumezungumza na Mratibu elimu ambaye pia ni katibu wa kamati iliyoundwa kushughulikia suala hilo ili ujenzi uweze kuanza, Mtazame kwenye video hii hapa chini akielezea hali ilivyo
