MKE WA WILLIAM MTITU AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

Mke wa William Mtitu ajifungua mtoto kike. Soma zaidi hapa
  • Mke wa William Mtitu ajifungua mtoto kike. Soma zaidi hapa 1
Mwigizaji, muongozaji wa filamu na mmiliki wa kampuni wa filamu ya 5effects William Mtitu amepata bahati ya kuongeza idadi ya wanafamilia wake baada ya mke wake Jovitha Mtitu kujifungua salama mtoto wao wa kwanza kwenye hospitali ya Regency jijini Dar es salaam hivi majuzi.

Kupitia ukurasa wa mtandao mmoja wa kijamii Mtitu aliandika…

“Nawashukuru madaktari wa hospital ya regency na kwa Dr mvungi wakiongozwa na Dr getu kwa kusaidia mpaka mke wangu kujifungua salama na sasa naitwa baba na mke wangu mama ,kwa kweli mungu awabaliki sana…”

Hali ya Mama na mtoto ni njema na  wanaendelea vizuri. Hongera sana Mtitu na familia yako.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo