Askofu Gavile akiwa na wachungaji na msaidizi wake mara baada ya kumalizika ibada ya Pasaka leo
Askofu wa kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) dayosisi ya Iringa Blaston Gavile leo amesitisha kusoma waraka wa maaskofu wa kanisa hilo kama ilivyopangwa kwa madai ya kuvuja kwa waraka huo.
Tazama Video Hii:-
