Video: Tunakukaribisha barabarani kama unataka kuandamana

Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar Es Salaam Lazaro Mambosasa amesema wamejipaga vizuri kukabiliana na wale wote watakaoandamana April 26 mwaka huu

Amemwambia mwandishi wa habari hii kama anataka kujua jeshi hilo limejipangaje, basi wakutane barabarani siku hiyo

Tazama Video hii hapa Chini:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo