Nimepokea malalamiko mengi kuhusu maadili ya kitaaluma katika toleo linaloonekana mtandaoni la gazeti la Tanzanite. Gazeti hili limesajiliwa kutoka kila Jumatatu.
Hivyo tumewaita wahusika kesho baada ya kuona nakala halisi ili kupata maelezo yao.
Dkt H.A.
Nimepokea malalamiko mengi kuhusu maadili ya kitaaluma katika toleo linaloonekana mtandaoni la gazeti la Tanzanite. Gazeti hili limesajiliwa kutoka kila Jumatatu.— Msemaji Mkuu wa Serikali (@TZ_MsemajiMkuu) March 4, 2018
Hivyo tumewaita wahusika kesho baada ya kuona nakala halisi ili kupata maelezo yao.
Dkt H.A.
