Akikabidhiwa kadi ya CHADEMA
Akirudisha kadi ya CCM
Mara baada ya
kumalizika kwa mkutano wa hadhara, mwananchi aitwaye Hansi Makoti amekihama chama cha
Mapinduzi na kujiunga na chama cha CHADEMA kwa madai ya kuridhishwa na majibu
aliyoyatoa diwani wake katika mkutano wa hadhara kuhusu ujenzi wa daharia
katika shule ya sekondari Matamba wilayani Makete Mkoani Njombe
Mwanachama huyo akapokelewa na Mwenyekiti
wa CHADEMA kata ya Matamba Hashim Nyambo na kukabidhiwa kadi ya CHADEMA na
kutakiwa kwenda kuwajibika kama chama hicho kinavyotaka
Tazama Video hii:-


