skip to main |
skip to sidebar
Mahakama: Hukumu ya Babu Seya na Papii Kocha ilikuwa sawa, japo kuna haki zao zilikiukwa
Mahakama hii imetoa hukumu leo hii ambapo Nguza na mwanae wamepewa siku 30 kuwasilisha maombi ya kutaka walipwe fidia na serikali iwapo watataka kufanya hivyo baada ya hukumu hiyo ya mahakama kutolewa leo hii.
Serikali pia itakuwa na haki ya kupinga Nguza na mwanawe wasilipwe fidia na serikali ndani ya siku 30 kwa kupinga jambo hilo mahakamani hapo iwapo Nguza na mwanae watawasilisha madai hayo katika mahakama hiyo.
Nguza na mwanae walikuwa wamekata rufaa katika mahakama hii kabla ya wao kutoka kwa msamaha wa Raisi.
Chanzo:Azam tv
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi