RC Njombe akoshwa na Sekondari ya Makete Girl's

Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka akisalimiana na walimu wa shule ya sekondari ya wasichana Makete Girl's alipofanya ziara shulleni hapo jana Januari 31, 2018
 Mkuu wa shule hiyo Mwalimu Sayuni Sanga akisoma taarifa ya shule kwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe
 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Njombe Ndugu Jasel Mwamwala akizungumza kwenye ziara hiyo
 Mkuu wa mkoa akikagua miundombinu ya shule hiyo


 Mkuu wa Mkoa wa Njombe akikagua vyoo vipya vilivyojengwa shuleni hapo
 Muonekano wa shule 
 Bweni wa wanafunzi hao

Kiranja Mkuu akizungumza kwenye ziara hiyo ya mkuu wa mkoa

 Mkuu wa mkoa akizungumza na wanafunzi hao


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo