RC Njombe atembelea Hospitali ya Consolata Ikonda

 Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh Christopher Ole Sendeka (katikati) akisaini kitabu cha wageni katika hospitali ya Consolata Ikonda, Kulia kwake ni Mkuu wa wilaya ya Makete Mh Veronica Kessy. Mkuu wa mkoa amefanya ziara hospitalini hapo jana januari 31, 2018

 Mkuu wa mkoa akipatiwa maelezo katika kitengo cha Viungo bandia hospitali ya Consolata Ikonda

 Mkuu wa Mkoa akiwa ameshika Mguu Bandia uliopo hospitalini hapo




 Muonekano wa Hospitali ya Consolata Ikonda

 Mkuu wa Mkoa akizungumza na watumishi wa hospitali hiyo
 Baadhi ya watumishi wa hospitali hiyo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo