PICHA: Lowassa alivyofika kwenye msiba wa Tambwe Hizza

Waziri mkuu Mstaafu na mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Edward Lowassa jana jioni aliungana na baadhi ya viongozi wa chama hicho nyumbani kwa aliyekuwa Mwanachama wa chama hicho na Mwanasiasa mashuhuri Marehemu Richard Hizza Tambwe eneo la Mbagala kuwapa pole wafiwa kutokana na msiba wa mwanasiasa huyo uliotokea  jana.



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo