Kamanda Mambosasa: Tunamtafuta Mbowe

Kamanda wa Jeshi la Polisi Lazaro Mambosasa amesema Jeshi la Polisi linawashikilia Askari 6 ambao wametumia Silaha za moto katika kudhibiti waandamanaji Kinondoni Dar

Kamanda Mambosasa, amesema kuwa "Tendo lililompata Binti(Aqulina Akwilini) ni la bahati mbaya sana, kwani wale Wawili waliojeruhiwa walikuwa eneo la tukio,"

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar Lazaro Mambosasa amesema wanamtafuta Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikael Mbowe ili wamfikishe katika vyombo vya sheria. Na kuongeza kuwa CHADEMA ndio walitumia nguvu kubwa kuwazuia Askari kutekeleza Majukumu

Chanzo:Millard Ayo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo