Video: Lowassa Kuhamia CHADEMA ulikuwa Mpango wa CCM - RC Gambo

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kitendo cha waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa kuhamia Chadema ulikuwa ni Mpango wa Chama cha Mapinduzi CCM

Gambo ameyasema hayo ikiwa ni siku moja imepita tangu Lowassa akutane na rais Dkt John Magufuli ikulu jijini Dar Es Salaam kitendo ambacho kilitajwa na mkuu huyo wa mkoa kabla ya utabiri wake kutimia kuwa Lowassa ameomba kuonana na Rais Magufuli Ikulu

Tazama Video hii:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo