Polepole: Kuna kiongozi Mkubwa wa CHADEMA tunatafakari tumpokeeje CCM

Leo Madiwani wawili Iringa-Mjini na Mara-Tarime wamehamia CCM. Katibu wa Mkoa wa Iringa CDM na Katibu Mwenezi wa Wilaya ya Siha CDM wamehamia CCM. Kuna Kiongozi mzito ameomba kuhamia CCM, tunatafakari kama tumruhusu au la, again lugha za matusi tutafungulia wote walioomba waje!


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo