Ziara ya Mwenyekiti wa Bawacha Taifa Mh Halima Mdee kukagua uhai wa Baraza la wanawake wa Chadema Mkoani Katavi pamoja na hayo Agenda ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi imezungumzwa,
Endeleeni na biashara ya kununua binadamu wanachama wako imara na wana kiu ya kuondoa ccm.
Ziara ya Mwenyekiti wa Bawacha Taifa Mh Halima Mdee kukagua uhai wa Baraza la wanawake wa Chadema Mkoani Katavi pamoja na hayo Agenda ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi imezungumzwa,— John Heche (@HecheJohn) January 12, 2018
Endeleeni na biashara ya kununua binadamu wanachama wako imara na wana kiu ya kuondoa ccm. pic.twitter.com/bX89Jh0ztM
