Hongera sana @azamfc kwa kuchukua kombe la Mapinduzi. Hongera sana mlinda mlango Razak kwa kudaka penalti 2 na nahodha @HimidMao kwa kuongoza Vijana wenzako vizuri uwanjani. Pongezi wachezaji wote na benchi la ufundi kwa mafanikio makubwa— Zitto Kabwe Ruyagwa (@zittokabwe) January 13, 2018
SERIKALI YAENDELEA KUBORESHA MABARAZA YA ARDHI
2 hours ago
