SINGIDA:
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inamshikilia Mshindi wa Kura za Maoni CCM Jimbo la Singida Kaskazini(kabla ya kufutwa), Haider Gulamali kwa tuhuma za kutoa Rushwa.
> Bwana Gulamali aliibuka kidedea kwenye mchakato wa kura ya maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi ili kusaka nafasi ya kumrithi aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo, Lazaro Nyalandu aliyetimkia CHADEMA
Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Singida amesema mtuhumiwa huyo amefikishwa mahakamani tayari