Taarifa Kwa Umma kuhusu matangazo ya TBC

Shirika La Utangazaji Tanzania (TBC)   linakuarifu kuwa kutokana na kuboresha urushaji wa matangazo kwa mfumo mpya wenye ubora zaidi kwa njia ya setelite. kwa wale wanaokosa matangazo baada ya kuwashwa kwa mtambo huo, wanapaswa kuzima na kuwasha tena visimbuzi vyao (retune recever) ili kupata tena matangazo ya tbc 1 na TBC 2 kwa ubora zaidi.

Shirika linakutakia utazamaji mwema wa matangazo yake katika ubora zaidi.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo