Dayosisi ya kusini
kata imefanya uchaguzi wa askofu kwa
mujibu wa katiba ya kanisa na Mchungaji Wilson sanga amechakuwa kuwa
askofu wa dayosisi hiyo
Akizungumza baada ya
uchaguzi huo uliofanyiaka hapo jana katika makao makuu ya dayosisi hiyo
Msaidizi wa askofu Mchungaji Adili Pagalo ambaye amechaguliwa tena kuwa
msaidizi wa askofu amesema ndugu Wilison Sanga amechaguliwa kuwa askofu wa
Dayosisi ya kusini kati ambaye amewahi kuhudumu kama katibu mkuu wa Dayosisi
hiyo ambapo watu watatu waliwania kiti
hicho katika uchaguzi huo pia umefanyika
uchaguzi wa wakuu wa majimbo
Awali Dayosisi hiyo
ilikuwa ikiongozwa na Askofu Levisi
Sanga ambaye ameiongoza dayosisi hiyo kwa mika minne na msaidizi wake akiwa
Adili Pagalo ambaye amechaguliwa tena
katika mkutano huo
pia umehudhuriwa na wageni mbalimbali akiwepo
Mkuu wa kanisa la kiinjili la Kilutheli tanzania KKKT askofu Fredrick
Shoo ambaye pia ni askofu mkuu wa Dayosisi ya kaskazini na msemaji mkuu wa neno
Askofu Dk Alex Malasusa ambaye pia ni askofu wa Dayosisi ya mashariki na Pwani
kwa mujibu wa katiba
ya kanisa hilo askofu aliye chaguliwa atahudumu kwa miaka kumi huku wakuu wa
majimbo wakihudumu kwa miaka minne pekee
