Angalia Picha: Ajali Mbaya yatokea Kilimanjaro, Yaua watu 5 papo hapo


Habari kutoka Wilayani Hai,mkoani Kilimanjaro zinaeleza kuwa watu watano wanadaiwa kupoteza na wengine wanne kujeruhiwa kufuatia ajali ya Lori kugongana uso kwa uso na gari nyingine aina ya Noah maeneo ya kikavu kwa Sadala.

Aidha ,taarifa za awali kutoka kwa Daktari wa zamu hospitali ya wilaya ya Hai,Agness Temba alieleza kuwa,katika ajali hiyo wamepokea miili ya watu wa tano.Amesema miili ya marehemu imehifadhiwa katika hospitali ya wilaya ya Hai, na majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya Rufaa ya KCMC Moshi.





JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo