Ajenti wa M-Pesa auawa Kikatili

AJENTI wa M-Pesa aliuawa kinyama Jumatano jioni mjini Moyale. 

Akithibitisha kisa hicho, Kamanda wa Kaunti ya Marsabit Waciira Mathenge aliambia Taifa Leo kuwa polisi wanafanya uchunguzi.

Bw Mathenge alisema mhudumu huyo alikuwa na majeraha mabaya, na aliaga dunia akipokea matibabu hospitalini.
Ajenti huyo wa kike alipata majeraha mabaya ya kukatwa baada ya kushambuliwa na watu wanaoaminika kuwa majambazi.
Majirani na polisi walijaribu kumuokoa na kumkimbiza hospitalini lakini hakupona


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo