Rais Dkt John Magufuli amesema hawezi kuwasaliti watanzania katika kipindi chake chote cha kuongoza nchi alichopewa na watanzania
Rais Magufuli amesema hakuna vita ngumu kama ya uchumi ambayo anaendelea nayo sasa hasa ya kupigania rasilimali za nchi ikiwemo madini yanayoporwa na kuachia taifa umasikini
Amesema kwa kuwa maechaguliwa kuwa Rais katika kipindi chake chote cha uongozi wake hakuna wa kuichezea Tanzania
Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza katika mkutano wa ALAT jijini Dar Es Salaam
#RaisMagufuli:Mimi ndiye Rais, najua siri zote za nchi hii, nisingeweza kuzunguma yote haya kama siyajui.#ALAT pic.twitter.com/QTv8ER3hhE— ITV (@ITVTANZANIA) October 3, 2017
Rais Magufuli: Na mimi nataka niwahakikishie katika awamu hii chini ya uongozi wangu, hakuna kuchezewa. #MkutanoAlat— East Africa Radio (@earadiofm) October 3, 2017
Rais Magufuli: Hakuna nchi ambayo mnaona rasilimali zinachukuliwa alafu mkanyamaza tu mkachekelea, tumechukua hatua. #MkuatnoAlat— East Africa Radio (@earadiofm) October 3, 2017
#MKUTANOALAT "Kwa siku chache baada ya kudhibiti uzalishaji wa Tanzanite umeongezeka zaidi ya mara 30"-Rais @MagufuliJP— Msemaji wa Serikali (@TZ_MsemajiMkuu) October 3, 2017
#MKUTANOALAT "Vita ya Uchumi ni ngumu kuliko vita ya kawaida"-Rais @MagufuliJP— Msemaji wa Serikali (@TZ_MsemajiMkuu) October 3, 2017
Rais Magufuli: Ndio maana kwenye Tanzanite tumeamua kujenga uzio— Jamii Forums (@JamiiForums) October 3, 2017
- Na gharama ya uzio haizidi hata Bilioni 6#JFLeo
#MKUTANOALAT "Fedha zote zilizokusanywa kutokana na Tanzanite duniani, Tanzania imepata asilimia 5 tu"-Rais @MagufuliJP— Msemaji wa Serikali (@TZ_MsemajiMkuu) October 3, 2017
