Magufuli: Siwezi Kuwasaliti Watanzania

Rais Dkt John Magufuli amesema hawezi kuwasaliti watanzania katika kipindi chake chote cha kuongoza nchi alichopewa na watanzania

Rais Magufuli amesema hakuna vita ngumu kama ya uchumi ambayo anaendelea nayo sasa hasa ya kupigania rasilimali za nchi ikiwemo madini yanayoporwa na kuachia taifa umasikini

Amesema kwa kuwa maechaguliwa kuwa Rais katika kipindi chake chote cha uongozi wake hakuna wa kuichezea Tanzania

Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza katika mkutano wa ALAT jijini Dar Es Salaam








JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo