Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo amesema chanzo cha moto huo bado hakijajulikana. Kazi ya kuzima moto huo inaendelea Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo pia yupo eneo la tukio.
Updates: Nyumba za polisi zinawaka moto mkoani Arusha
By
Edmo Online
at
Wednesday, September 27, 2017
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo amesema chanzo cha moto huo bado hakijajulikana. Kazi ya kuzima moto huo inaendelea Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo pia yupo eneo la tukio.
