Updates: Nyumba za polisi zinawaka moto mkoani Arusha

Nyumba za Jeshi la polisi mkoani Arusha zilizopo Kata ya Sekei Arusha zinawaka moto muda huu huku juhudi za kuendelea kuzimwa moto huo zikifanyika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo amesema chanzo cha moto huo bado hakijajulikana. Kazi ya kuzima moto huo inaendelea Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo pia yupo eneo la tukio.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo