Lazaro Nyalandu ataka katiba Mpya

Mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu, leo amegeukia suala la katiba, na kuitaka serikali kulifanyia kazi suala hilo ambalo bado lipo njia panda

Lazaro Nyalandu ameandika ujumbe huo kwenye ukurasa wake wa twitter, na kusema kwamba sasa nchi ya Tanzania inahitaji katiba hiyo ili kuwe na mipaka ya muingiliano wa kazi kwenye mihimili ya nchi.
 "Tanzania inahitaji katiba mpya mihimili ya utawala iwekewe mipaka iliyo wazi, na kuwepo 'checks and balance' kwa serikali, bunge, na mahakama", ameandika Lazaro Nyalandu.
Hivi karibuni suala la mchakato wa katiba mpya limekuwa suala ambalo limeonekana kuwekwa kando, kwa kutozungumziwa na viongozi, jambo ambalo limeanza kuzua sintofahamu.

Alichokiandika Lazaro Nyalandu twitter.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo